VERSE 1:BEN POL
Oya oya oya ey,mi nataka unisikilize
Oya oya oya ey,nimekuja tuzungumze
JUX
Sema sema sema Ben pol
Huwa napenda nyimbo zako
Ila tatizo mavazi yako,
Una sahau kama we Ni msanii
BEN POL:
Ninavyovaa na kuimba wapi na wapi
midosho china kwani shingi ngapi..!?
We una sifa mi naimba
Nenda uliza shabiki wako wapi
JUX:
unachelewa kaka,punguza ushamba sasa
Mziki biashara natengeneza hela
Hauna mashabiki tenaa
CHORUS:
( Nakuchana )x4 Leeoo
( Nakuchana )x4 Nakuchanaa
( Nakuchana )x4 nakuchana Leo hii,nakuchana Leo hii
( nakuchana )x4 mi nakuchana
VERSE 2: JUX
By the way,natafuta msanii wa kumsaidiaa
Niambie video ya mwisho nani kakulipia
BEN POL:
Nafanya shows kila mwaka
wapi we unapata pesa
Stori zako nshazipata
Unalelewa na Vanessa
JUX:
Mi mfanyabiashara,
Toka long time,wala sio mwenzako
Mashabiki nimekupora,
Hata last time nimechukua tuzo yako
BEN POL:
Ngoma ya kitoto haikeshi
Subiri next time,naandaa dozi yako
hata hizo gari na pesa
Mbwembwe za bling bling
Mshukuru sana Ex wako ( jack )
CHORUS:
( Nakuchana )x4 leeoo
( Nakuchana )x4 nakuchana
( Nakuchana )x4 Nakuchana Leo hii,nakuchana Leo hii
( Nakuchana )x4 Nakuchanaa
No comments:
Post a Comment